Your search results

About Me

Kwa mahitaji ya viwanja na mashamba kwa mkopo usiokua na riba wala dhamana . Karibu nikuhudumie nina uzoefu katika shughuri hii kwa zaidi ya miaka 7 huduma zetu zinapatikana sehemu zote viwanja vyetu vimepimwa na viko karibu na huduma zote za kijamii huduma hazichagui mahali ulipo kwakua tuna fanya huduma ya malipo kwa njia ya bank miamala ya simu na kufika ofisini . Nimesha wahudumia wateja mbali mbali ndani na nje ya tanzania . Uaminifu ni 100% tunatoa mikataba ya kisheria na tunaruhusu mteja kumshirikisha mwanasheria wake endapo atahitaji kufanya hivyo. Mkopo wetu ni wa miezi 18.

Contact Me

Schedule a visit
You can reply to private messages from "Inbox" page in your user account.

Agent Reviews

You need to login in order to post a review
  • Advanced Search

    TZS 4,000,000 to TZS 900,000,000

    TZS 30,000 to TZS 5,000,000

Compare Listings