Your search results

Kuishi Katika Nyumba Nzuri ni Haki Yako

Posted by Admin Kaya on July 2, 2021
0

Ishi katika Makazi bora  yaliyopo  katika maeneo yanayoloruhusu wakazi kufikia maeneo ya umma, fursa za ajira, huduma za afya, shule, vituo vya kulelea watoto na maeneo mingine muhimu ya kijamii

Usiishi mabondeni, maeneo ambayo husababisha majanga kwa wananchi wakati wa mvua, vikiwemo vifo na kuharibika kwa makazi yake. 

Usiishi maeneo ambayo yanaathirika sana kwa mafuriko pale inaponyesha mvua kubwa 

Usiishi katika mitaa ya mabanda na makazi yasiyo rasmi, kwenye nyumba zisizo bora au zisizokuwa na makazi kabisa. 

Leave a Reply

Your email address will not be published.

  • Advanced Search

    TZS 4,000,000 to TZS 900,000,000

    TZS 30,000 to TZS 5,000,000

Compare Listings